Breaking

Thursday 2 June 2022

PICHA: BRELA YAWAPIGA MSASA WADAU MWANZA KUHUSU KANUNI ZA WAMILIKI MANUFAA (BENEFICIAL OWNERS)

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi na Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Kampuni na majina ya Biashara kutoka BRELA, Mainrad Rweyemamu (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wadau walioshiriki katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza. (Picha zote na Samir Salum, Lango la habari)
Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Kampuni na majina ya Biashara kutoka BRELA, Mainrad Rweyemamu akiwasilisha mada katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Kampuni na majina ya Biashara wa BRELA Mainrad Rweyemamu akiwasilisha mada katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Wakili wa kujitegemea Constantine Mutalemwa akizungumza katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Afisa habari wa BRELA, Njwaba Mwaijibe akiwakaribisha wageni katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Afisa sheria wa Brela Vicensia Fuko (kushoto), Afisa usajili  Jacob Mkuye (katikati) na Kaimu Mkuu wa Sehemu ya Makampuni kutoka Brela, Leticia John Zavu wakiwa katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Baadhi ya washiriki waliohudhuria katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Baadhi ya wadau walioshiriki katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Baadhi ya wadau walishiriki katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Mdau akichangia mada walishiriki katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Mdau akichangia mada katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi na Kaimu (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wadau walioshiriki katika Warsha ya uhamasishaji wadau kuhusu kanuni za wamiliki manufaa (beneficial owners) iliyofanyika leo Juni 02, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Benki Kuu Mkoani Mwanza.
(Picha zote na Samir Salum, Lango la habari)
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990

Pages